MWENYEKITI HALMASHAURI YA WILAYA KATI-ZANZIBAR

SAID MTAJI ASKARI

HALMASHAURI YA WILAYA KATI-ZANZIBAR

KARIBU KATIKA UKURASA WA KITENGO CHA UHASIBU



KITENDO CHA UHASIBU

Kitengo cha Uhasibu ni moja kati ya vitengo vilivyopo katika Halmahauri ya Wilaya ya Kati Ambapo kitengo hichi kipo chini MKURUGENZI MTENDAJI Kwa upande wa TEHAMA tunawajibika katika kutoa huduma za Ki TEHAMA katika ofisi ya Halmahauri ya Wilaya ya Kati, pamoja na Ofisi nyenginezo zilizopo Ndani ya Wilaya ya Kati. Kitengo cha Tehama ni moja kati ya kitengo Muhimu katika Ofisi hii ni kutokana na Dunia ya sasa kuchukua sehemu kubwa ya Teknolojia na kusababisha kuchochea Maendeleo kwa kasi na kupekea kutoa ufanisi wa kazi katika Ofisi.

Miongoni mwa Huduma za kitehama tunazozitoa ni pamoja na Kuisaidia Ofisi kwa kutumia Tehama(Teknolojia Habari na Mawasiliano)katika kufikia Malengo na Dhamira yake na pia kutoa ushirikiano pindi tatizo linapotokea linalohusiana na masuala ya kitehama. Mfano kuharibika kwa kompyuta na vifaa vyenginevyo vinavyotumika katika sehemu ya teknologia Habari na Mawasiliano.

Dira

Kuitumia Tratibu za Ki Uhasibu na Mahesabu ilikuweza kuendana na kasi ya mabadiliko ya Kidunia katika sehemu ya matumizi ya Teknologia Habari na Mawasiliano ambapo Teknolojia kwa sasa ndio imechukua sehemu kubwa katika Dunia Taasisi nyingi ikiwemo Halmashauri ya Wilaya ya Wilaya ya Kati.

Dhamira

Kuiwezesha ofisi katika kufikia Malengo yake kupitia sheria zilizwa anzishwa na kuiwezesha Ofisi iweze kufanya kazi nje ya Mipaka yake ya (ARDHI)na kuweza kutambulika ki Dunia pamoja na Kuitangaza

Mafanikio

Kitengo cha Uhasibu kimefanikiwa kwa kiasi kikubwa ambapo kupitia DIRA na DHAMIRA yake kiliojiekea imeplekea Ofisi kuitegemea (TEHAMA) Teknolijia Habari na Mawasiliano katika masuala kazi kwa ujumla Ili kuweza kutoa huduma iliobora kwa jamii ya Wilayaya kati na nje ya Wilaya ya kati.

MAJUKUMU

  • Kusimamaia Taratibu na sheria za kihasibu na Utekelezaji wake.
  • Kuratibu na kutoa msaada unaohusiana na masuala ya Teknolojia Habari na Mawasiliano.
  • Kutumia Teknolijia ya Habari na mawasilianoo katika masuala ya kuhifadhi Taarifa na Takwimu.
  • Kutayarisha Mpango mkakati kuhusiana Teknolijia ya Habari na Mawasiliano,Miongozo kwa kuzingatia sera ya Taifa ya Teknolijia ya Habari na Mawaliano.
  • Kuiendeleza na kuitunza Tovuti ya Halmahauri ya Wilaya ya Kati pamoja na kuitangaza kwa ajili ya kutembelewa kwa wingi.
  • Kumshauri Mkurugenzi Mtendaji Pamoja na uongozi wa juu katika masuaka yanayohusiana na Sera,miongozona Taratibu zinazohusiana na Teknolojia Habari na Mawaliano.