MAGOFU NA MAPANGO



TUNU ZETU

Magofu na Mapango ni sehemu ya Tunu zinazopatikana ndani ya Wilaya ya kati-Zanzibar.

MCHANGANUO WA SHEHIA ZENYE KUPATIKANWA KWA MAGOFU NA MAPANGO

Ijue Historia Kwa ufupi ya Mapango na Magofu yaliopo Ndani ya wilaya ya Kati

Mapango na Magofu ni Sehemu ya Tunu ambazo zimo ndani ya wilaya ya kati Ambapo mapango na Magofu haya yamekua na historia Mbali mbali ikiwemo kutambulika kama ni historia ya Nchi ya Zanzibar Magofu na Mapango haya historia yake kwa ufupi ni: Magofu na Mapango mingi yalio Ndani ya wilaya ya kati yalitumika kama ndio sehemu ya Viongozi au Watawala walipita kabla ya Mapinduzi ya serekali ya Zanzibar na Baada ya Mapinduzi kufanyika Magofu hayo yalitumiwa na Vionguzi hao kwa shughuli mabali mbali ikiwemo pia kua ndio kama makazi yao waliokua wakiishi. Maeneo yenye Magofu na Mapango ni kama yafuatayo:-



    TUNU YA MAGOFU NDANI YA WILAYA YA KATI
    SHEHIA ZENYE MAGOFU
  • MACHUI – House of phone
  • GHANA – Mnara wa kale upo kichwele mnarani
  • DUNGA KIEMBENI – House of Mwinyi Mkuu
  • CHWAKA – House of Sultan(King)

    - Nyumba ya Britsh consulate

  • BUNGI - Kwa Bikhole


  • SHEHIA ZENYE MAPANGO
  • MCHANGANI/TUNDUNI/MITAKAWANI – Pango lipo katika ya msitu wa hifadhi (mbolea ya popo)
  • UBAGO – Pango ( mbolea pia mawe ya thamani)
  • UZI N'GAMBWA – Pango lina Maji
  • BINGUNI – Pango la zingani - Pango la kiwembe uwanja wa ndege
  • MARUMBI- Pango la Mwinyimzi - Pango la Mambe (lina Maji)
  • PAGALI- Pango
  • SHEHIA ZENEYE UWANJA WA NDEGE WA ZAMANI ULIOKUA UKITUMIKA
  • BINGUNI- Uwanaja wa ndege wa zamani ulikua ukitumika
  • UMBUJI- Kuna jiwe kubwa sana.