HAKIKA M .MOH

MKURUGENZI MSAIDIZI WA MTAMBUKA

HABARI ZA MTAMBUKA
VIDIO
Miaka 10 ya Mhe:Dr ALI mohammed Shein MKUU WA WILAYA YA KATI BI:HAMIDA MUSA KHAMIS akielezea Jinsi ilivojipanga jisi ya kukabiliana na Korona

MUUNDO WA IDARA YA MTAMBUKA



IDARA YA MTAMBUKA

Idara ya Masuala Mtambuka ni moja kati ya Idara Sita katika Muundo Mpya wa Mamlaka za Serikali za Mitaa ulioanza rasmi Julai 2019. Idara hii inashughulikia Masuala Mtambuka ambayo yanajumuisha Matukio ya Maafa, Maradhi, Mabadiliko ya Tabianchi, Jumuiya au Asasi za Kiraia (NGO’s), Usawa wa kijinsia, Madawa ya kulevya, Watu wenye Mahitaji maalum pamoja na wanaoishi katika Mazingira magumu.

Dira

Kuwa Idara imara yenye Uwezo na uwajibikaji itakayotoa huduma kwa ufanisi na Tija kwa Jamii kwa Mujibu wa Sheria.

Dhamira

Kutoa huduma bora kwa Wakati kwa kuzingatia Matumizi bora ya Ufanisi yaRrasilimali zinazo patikana.

MAJUKUMU

Kwamujibu wa Sera ya Serikali za Mitaa Zanzibar ilioandaliwa na Afisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ya Mwaka 2014 Majukumu ya Idara ya Masuala Mtambuka ni kama yafuatayo:

  • Kufatilia Uzingatiaji wa Usawa na Uwiano wa kijinsia katika kuendeleza Shuhuli za Kimaendeleo katika Jamii.
  • ii. Kuratibu utoaji wa Elimu ya Kinga dhidi ya Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na Matumizi ya Dawa za kulevya
  • iii. Kuratibu na kusimamia Uhifadhi wa Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Kutoa Elimu ya kupambana na Kuzuia Rushwa
  • Kuratibu Udhibiti wa Maafa yanayo tokea kwenye Jamii
  • vii. Kufuatilia Masuala ya Idadi ya Watu.


  • Mafanikio

    Idara ya Uendeshaji Mipango na Fedha Imefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika Baada ya kusimamia Dira yake na Kusimamia Dhamira yake


    /div>