MISITU NA MAWE

TUNU ZETU

Tunajivunia katika Nchi yetu ya Zanzibar kua Aina mbali mbali za Misitu Ukiwemo Msitu mkubwa wa Hifadhi Ambapo Misitu hio inatumika zaid kitalii kutokana na Viumbe Hai vinavyoishi katika Msitu huo/Misitu hiyo Viumbe hai hawao waishio katika Msitu kama vile wa Jozani ni kama Vile Aina ya Kima waitwao Kima Punju,Kobe n.k

MCHANGANUO WA SHEHIA ZENYE AINA MBALI MBALI ZA MISITU NDANI YA WILAYA YA KATI

Ndani ya wilaya ya kati Kuna aina ya tofauti ya Misitu kama vile :-

  • MISITU YA MIKOKO
  • MISITU YA HIFADHI
  • MISITU ISIYOKUA YA HIFADHI

      SHEHIA ZENY MISITU YA MIKOKO

    • BUNGI
    • CHARAWE
    • UKONGORONI
    • CHWAKA
    • SHEHIA ZENYE MISITU ISIYOYAHIFADHI

    • CHWAKA- MSITU WA KIJUNDU
    • UZI
    • GHANA
    • MARUMBI
    • SHEHIA ZENYE MISITU YA HIFADHI

    • CHWAKA -UFUFMO
    • CHEJU
    • DUNGA KIEMBENI
    • MCHANGANI

    • PETE(SEHEMU YA JOZANI)
    • MARUMBI