LATIFA HASSAN ALI
MKURUGENZI MSAIDIZI UENDESHAJI
Idara ya Mipango,Utawala, na Rasilimali Watu ni moja kati ya Idara sita za Halmashauri ya Wilaya ya kati ikiwa imejumuisha ndani yake Divisheni ya Utawala, Mipango, Fedha (MAPATO) na Rasilimali watu, ambapo Idara hii zinasimamia maslahi ya wafanyakazi wote wa Halmashauri,ikiwemo likizo,mafunzo,marekebisho ya mishahara na malipo yoyote wanayostahiki wafanyakazi kwa mujibu wa sheria. Pia inashughulikia ufuatiliaji na ukusanyaji wa mapato, vyombo vyote vya usafiri, na majengo ya Ofisi.
Kuwa na Wilaya mahiri yenye kuvutia kwa kupigania mfumo wa maisha ya maendeleo endelevu kutokana na kuwepo mazingira ya kipekee na kwa Wilaya mfano bora ndani ya Zanzibar na yenye kutambulika Ulimwenguni kote.
Kuandaa mazingira bora kwa wananchi wote wa Halmashauri ya Wilaya ya kati.
Idara ya Uendeshaji Mipango na Fedha Imefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika Baada ya kusimamia Dira yake na Kusimamia Dhamira yake