SAID H.SHAABAN
MWENYEKITI WA BARAZA LA MJI KATI
SALUM MOHAMED ABUBAKAR
MKURUGENZI MTENDAJI
Ofisi ya Baraza la mji kati imefanikiwa kutimiza vigezo vyote vya kupanda Hadhi vilivyowekwa kwa ajili ya mamlaka ya serekali za mitaa na kuweza naa kuweza kupata utambulisho rasmi wa kuitwa Baraza la Mji kati kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Kati
Mhe.DR Hussein Ali Hassan Mwinyi akiwa anakamilisha kiapo chake cha Nafasi ya Urais wa Zanzibar na kuapishwa na Mhe:Jaji Mkuu wa Zanzibar Hamid Mahmoud Hamid Kikishuhudiwa na Katibu mkuu kiongozi wa Baraza la Mapinduzi-Zanzibar Mhe Abdul-Hamid Yahya Mzee,pamoja na kushuhudiwa na viongozi mbali mbali wa Nchini Tanzanzia,wageni kutoka Nchi za kimataifa pamoja na Malaki ya Wananchi wa Zanzibar