SAID MTAJI ASKARI
HALMASHAURI YA WILAYA KATI-ZANZIBAR
Ni kitengo ambacho kinashughulika na masuala ya uandishi wa taarifa , upigaji picha, kuandaa makala tofauti, uchambuzi wa habari pamoja na matukio mbali mbali yanayojitokeza na kuziwasilisha katika vyombo vya habari kwa lengo la kuwahabarisha wanajamii.
Kuwa na kitengo ambacho kinafanya kazi kwa umahiri, uweledi na usahihi bila ya kufanya upendeleo upande mmoja , na kuwa wawazi kwa wanajamii juu ya kila kinachoendelea katika kuwaletea maendeleo.
Kujenga imani kwa jamii juu ya habari zinazotolewa katika vyombo vya habari.